Kutana na Michael Munyiri, mwanafunzi bora katika mtihani wa KCPE mwaka huu

- Michael Andy Munyiri alipata alama 440 kwa jumla ya alama 500 - Munyiri alikuwa mwanafunzi katika shule ya msingi ya Damacrest kule Thogoto kaunti ya kiambu - Aidha, Munyiri amesema anataka kuwa mhandisi baada ya masomo

- Michael Andy Munyiri alipata alama 440 kwa jumla ya alama 500

- Munyiri alikuwa mwanafunzi katika shule ya msingi ya Damacrest kule Thogoto kaunti ya kiambu

- Aidha, Munyiri amesema anataka kuwa mhandisi baada ya masomo

Michael Andy Munyiri amefurahia sana baada ya kuibuka mwanafunzi bora zaidi katika mtihani wa kitaifa wa darasa la nane KCPE.

Munyiri alisema hakutarajia kuchukua nafasi ya kwanza katika mtihani huo uliokamilika majuma matatu yaliopita.

Habari Nyingine: Francis Atwoli afanya utabiri mwingine wa kisiasa

Habari Nyingine: Binamuye Uhuru Kenyatta, ahusishwa katika kesi ya mauaji ya Tob Cohen

" Nilipomsikiza waziri wa elimu George Magoha, sikujua atalitaja jina langu, nimefurahi sana kuibuka mshindi kote nchini." Munyiri alinukuliwa na Daily Nation.

Munyiri alimshukuru babake kwa kusimama naye katika kila hali na kusema anataka kuwa mhandisi baada ya masomo.

Read: ENGLISH VERSION

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia news@tuko.co.ke au WhatsaApp: 0732482690.

Subscribe to watch new videos

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdjZ4JzfJBmoq6skaOubrrAZqSim5iWsq15zK6lsqGinnquw8CnmJ%2Btnq%2B2bq7Oq5hmo5GptqytjKaroqCRo7Zuw8BmopyolWK6uK3KmmShraVjtbW5yw%3D%3D

 Share!